Friday, 10 April 2015

MGOMO WA MADELEVA WAFIKA KIKOMO

MGOMO WA MADEREVA UMEISHA.

Waziri wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudencia Kabaka amefanikiwa kumaliza mgomo wa madereva baada ya kutangaza kufuta agizo lililokuwa likiwataka madereva wa mabasi na malori kwenda kusoma tena katika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) Kuhusu suala la Madereva kusoma, Serikali na Madereva wamekubaliana kukutana mwezi huu tarehe 18  kuzungumza njia mbadala

No comments:

Post a Comment

Note: only a member of this blog may post a comment.