Wednesday, 1 April 2015

Nimekuletea mtoto wa miaka mitatu "Baba kafanye ibada"

Baba Fanya ibada USALI mkumbuke Mwenyezi Mungu achana na kisimu cha mkononi
Mtoto mwenye umri miaka mitatu anamzindua baba yake wakati
yuko Busy na Simu na hali ya kuwa muda wa kufanya ibada umefika..!!
Baba achana na Facebook,whatsapp,twitter,Instagram wakati Wa swala vyote ni mpito tu.

No comments:

Post a Comment

Note: only a member of this blog may post a comment.