Saturday, 14 March 2015

HAYA NDIO MAAMUZI MAGUMU ALIYOYACHUKUA ZITTO KBWE BAADA YA KUFUKUZWA CHADEMA

Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mh. Zitto Zubery kabwe Leo Alikutana na Wazee wa Jimbo Lake na Kutoa Maamuzi magumu mbele ya wazee hao kama hatogombea tena Ubunge kwenye jimbo hilo alilolitumikia kwa muongo moja (miaka 10) huku wazee wakimbariki achukue maamuzi yanayofaa kulingana na hali ya kisiasa inayoendelea hivi sasa.

Katika page yake ya facebook amepost ujumbe huu kama unavyosomeka hapa chini:

No comments:

Post a Comment

Note: only a member of this blog may post a comment.