
Waombolezaji walikuwa wamebeba mwili wa marehemu kwenda makaburini kwa ajili ya mazishi, mwili wa marehemu uliokuwa umebebwa ulidondoka bila wao kujua na kuendelea na safari.. watu waliokuwa nyuma yao wakaona mwili huo katikati ya barabara.
Ilibidi wawaite na kuwaambia kwamba mwili wa marehemu walikuwa wameuacha nyuma yao, wakarudi kuuchukua na kuurudishia ndani ya jeneza na kuendelea na safari ya kwenda kuzika.
No comments:
Post a Comment
Note: only a member of this blog may post a comment.