![]() |
Wananchi wakishughudia tukio la moto |
![]() |
Kikosi cha zima moto kikiwa kazini |
Jiji Dar es Salaam leo hali haikuwa shwari asubuhi, tukio kubwa ni ajali ya moto ambao ulianza katika majengo yanayomilikiwa na Shirika la Nyumba NHC.









Pichaz zote nimezitoa: http: issamichuzi.blogspot.com
Moto ulianza saa tatu asubuhi mtaa wa Libya na Mosque, ambapo ulishika katika majengo matatu ya ghorofa yaliyoongozana na kuunguza vitu ambavyo thamani yake haijafamika.
Vikosi vya Zimamoto vilifika na kuudhibiti moto huo huku wakiendelea na uchunguzi kujua chanzo cha moto huo.
Kamanda wa Polisi Suleiman Kova amesema hakuna mtu aliyefariki wala kuumia kutokana na ajali hiyo.
Hapa kuna picha za tukio hilo.
![]() |
Kamanda wa kanda maalum Dar es salam akihojiwa na vyombo vya habari |









Pichaz zote nimezitoa: http: issamichuzi.blogspot.com
Endelea kutembelea blog yetu upate habari zaid
No comments:
Post a Comment
Note: only a member of this blog may post a comment.