Mwanamuziki na Msanii Ali kiba au waweza kumuita kingkiba akifanya mazoezi ya live band akijiiandaa na show ya valentine pamoja na Tamasha kubwa la Sauti za Busara linalofanyika kila mwaka huko kisiwani Zanzibar Unguja.
Akiimba nyimbo yake mpya wife wa dunia.
No comments:
Post a Comment
Note: only a member of this blog may post a comment.